JAMII FM RADIO-MTWARA
Saturday, January 19, 2013
Sunday, January 6, 2013
TUSIWAPUUZE WANANCHI WA MTWARA : ZITO KABWE
Maandamano ya amani
yaliyofanyika mjini Mtwara siku ya alhamis wiki hii yameibua hoja mbali mbali
kutoka kwa viongozi, wananchi, vyombo vya habari na mjadala wa siku nzima
kwenye mitandao ya kijamii hasa facebook, twitter na JamiiForums. Mkuu wa Mkoa
wa Mtwara ameita waandamanaji wapuuzi na Waziri wa Nishati na Madini amewaita
watu hatari na
Monday, December 10, 2012
AJALI MBAYA YATOKEA MKOANI MTWARA
Ambulance likiwa linababeba miili ya marehemu mara baada ya kuokolewa kwenye eneo la tukio |
Waandishi wa habari wakiwa wanaongea na Kamanda Nzuki mara baada ya ajali kutokea |
Hili ni eneo la tukio amabapo ajali imetokea hayo ni magari maalumu yakijaribu kuondoa zege zito liliowafunika watu na kupoteza maisha papo hapo |
Huyu ni mmoja ya majeruhi wa ajali hiyo akiwa hospital ya Rufaa Mkoani Mtwara (Ligula) hatukuweza kupata jina lake kwa haraka . |
Baadhi ya watu wakishuhudia ajali hiyo mbaya |
Majeruhi mara baada ya kufikishwa Hospittali kwa matibabu akiwa chumba cha mapasuaji |
Sunday, November 25, 2012
MARAIS WA AFRIKA MASHARIKI WAIJADILI DRC
Thursday, November 22, 2012
IPO HAJA YA KUTANGAZA MAFANIKO YETU WATU WA ZANZNIBAR
Rais wa zamani wa Zanzibar ambaye amemaliza muda wake kama makamu
mwenyekiti wa chama tawala nchini CCM hapo jana (13.11.2012) Amani Abeid
Karume amejivunia mafanikio aliyosimamia visiwani humo wakati wa
utawala wake.
Rais wa zamani wa Zanzibar, Amani Karume
Subscribe to:
Posts (Atom)