Mkutano Mkuu wa chama kinachotawala nchini Tanzania CCM unamalizika leo
huko Dodoma, ambapo miongoni mwa mambo yaliyojitokeza katika siku ya
mwisho hii leo ni suala la amani na katiba mpya hususan visiwani
Zanzibar
Rais wa zamani wa Zanzibar, Amani Karume