Thursday, November 22, 2012

HII NDO CCM " KIKWETE ALONGA NA WANANCHI

Rais wa Tanzania Jakaya Kikwete

Mkutano Mkuu wa chama kinachotawala nchini Tanzania CCM unamalizika leo huko Dodoma, ambapo miongoni mwa mambo yaliyojitokeza katika siku ya mwisho hii leo ni suala la amani na katiba mpya hususan visiwani Zanzibar

IPO HAJA YA KUTANGAZA MAFANIKO YETU WATU WA ZANZNIBAR


Rais wa zamani wa Zanzibar ambaye amemaliza muda wake kama makamu mwenyekiti wa chama tawala nchini CCM hapo jana (13.11.2012) Amani Abeid Karume amejivunia mafanikio aliyosimamia visiwani humo wakati wa utawala wake.
Rais wa zamani wa Zanzibar, Amani Karume Rais wa zamani wa Zanzibar, Amani Karume

"TUNABADILI IMANI ZETU" WANAUME WA KIAFRIKA

Arbeitslose afrikanische Männer sitzen auf einer Mauer, Germa, Libyen
Pamoja na kwamba baadhi ya mila za Kiafrika zinataka mwanaume awe na watoto wengi na wa kiume kama mrithi, wanaume wa Afrika wameanza kubadilika kwa kuachana na mila hizo baada ya kutambuwa umuhimu wa uzazi wa majira.