Mkutano Mkuu wa chama kinachotawala nchini Tanzania CCM unamalizika leo
huko Dodoma, ambapo miongoni mwa mambo yaliyojitokeza katika siku ya
mwisho hii leo ni suala la amani na katiba mpya hususan visiwani
Zanzibar
Thursday, November 22, 2012
IPO HAJA YA KUTANGAZA MAFANIKO YETU WATU WA ZANZNIBAR
Rais wa zamani wa Zanzibar ambaye amemaliza muda wake kama makamu
mwenyekiti wa chama tawala nchini CCM hapo jana (13.11.2012) Amani Abeid
Karume amejivunia mafanikio aliyosimamia visiwani humo wakati wa
utawala wake.
Rais wa zamani wa Zanzibar, Amani Karume
Subscribe to:
Posts (Atom)