Maandamano ya amani
yaliyofanyika mjini Mtwara siku ya alhamis wiki hii yameibua hoja mbali mbali
kutoka kwa viongozi, wananchi, vyombo vya habari na mjadala wa siku nzima
kwenye mitandao ya kijamii hasa facebook, twitter na JamiiForums. Mkuu wa Mkoa
wa Mtwara ameita waandamanaji wapuuzi na Waziri wa Nishati na Madini amewaita
watu hatari na