Ambulance likiwa linababeba miili ya marehemu mara baada ya kuokolewa kwenye eneo la tukio |
Waandishi wa habari wakiwa wanaongea na Kamanda Nzuki mara baada ya ajali kutokea |
Hili ni eneo la tukio amabapo ajali imetokea hayo ni magari maalumu yakijaribu kuondoa zege zito liliowafunika watu na kupoteza maisha papo hapo |
Huyu ni mmoja ya majeruhi wa ajali hiyo akiwa hospital ya Rufaa Mkoani Mtwara (Ligula) hatukuweza kupata jina lake kwa haraka . |
Baadhi ya watu wakishuhudia ajali hiyo mbaya |
Majeruhi mara baada ya kufikishwa Hospittali kwa matibabu akiwa chumba cha mapasuaji |